BREAKING NUUZ, SHEIKH PONDA AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO






Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam,Sheikh Issa Ponda leo
amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam
kwa madai mbalimbali pamoja na kuwashawishi baadhi ya Waislamu kuvamia
eneo la Kiwanja katika eneo la Chang'ombe jijini Dar es Salaam,  kuwashawishi
Waislamu kutojitokeza katika zoezi la Uandikishaji katika Sensa ya Watu
na Makazi. Hali ya ulinzi imeimarisha katika viunga vya Mahakama hiyo. Habari kamili kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu pamoja na Picha zitawajia hivi punde.
HABARI KWA MSAADA WA HABARI MSETO BLOG

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post