KIKONGWE mchawi adondoka wakati akiwanga saa mbili usiku


 
Watu wakimshangaa bibi aliyedaiwa kuwa mchawi. Ni aliyekaaa katikati.

...Akipewa chakula, wali na maharage kutoka kwa wasamaria wema.

  Akiwa kapakata sahani la wali aliopewa.
Watu waliokusanyika kumshangaa.
 
BIBI mmoja ambaye  jina lake halikuweza kufahamika  mara moja, jana majira ya saa mbili usiku maeneo ya Chanika, jijini Dar es Salaam alidaiwa kuanguka wakati akiwa katika harakati za kuwanga ambapo wakazi wa hapo walimkamata na kuanza kumhoji kwa maswali mbalimbali kama anavyoonekana pichani.

source mpekuzi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post