MFAHAMU MTU MWENYE MUSTACHI MREFU ZAIDI KULIKO WOTE DUNIANI,KAUFUGA ZAIDI YA MIAKA 30









Akiwa na umri wa miaka 58 Muhindi mmoja anayekwenda kwa jina la Ram Singh Chauhan anajivunia kuwa mtu mwenye mustachi mrefu kuliko wote duniani, ukiwa na urefu wa fyti 14.

Chauhan, ambaye alikua na kuishi kwenye jiji la Jaipur ndani ya jimbo la Rajasthan, mustachi huo ni fahari yake kuu. Ametumia miaka 32 kuufuga na kuupa matunzo yaliyoweza kuupelekea kufika hapo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post