MHESHIMIWA LOWASA AKABIDHIWA TUZO YA HESHIMA


Kituo cha matibabu ya vidonda vya tumbo Cha Rahabu Ulcers Clinic Centre Cha jijini Dar es Salaam, kimemkabidhi tuzo ya heshima Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa kwa kutambua mchango wake mkubwa katika jamii.Pichani Mkurugenzi Mkuu wa Kituo hicho,Dk. Rahabu Rubago(katikati) akimkabidhi Mh Lowassa tuzo hiyo.Kulia ni Meneja Mkuu wa Kituo hicho Catherine Kahabi.
chanzo blogszamikoa

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post