Mauaji ya Kutisha Kahama!!!! KIKONGWE AUAWA KWA MAPANGA KWA IMANI ZA KISHIRIKINA ,TAZAMA HAPA PICHA ZA KUSIKITISHA,TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZO


Mwili wa marehemu bibi Lucia aliyeuawa kikatili kwa kile kinachodaiwa kuwa ni imani za kishirikina




Marehemu akiwa katika eneo alilokuwa akila chakula na wajukuu zake

Mwanamke mmoja  aliyetajwa kwa jina la Lucia Mgonga (55) mkazi wa kijiji cha Mega wilayani Kahama mkoani Shinyanga ameuawa kwa kukatwa Mapanga na watu wasiojulikana.

Tukio hilo la kutisha limetokea Usiku wa kuamkia juzi majira ya saa mbili usiku wakati bibi huyo akiwa na wajukuu zake wakipata chakula cha jioni.

Marehemu amepoteza maisha baada ya kukatwa panga sehemu ya bega lake la kushoto na Shingoni.


Imeelezwa kuwa sababu ya mauaji hayo kuwa ni imani za kishirikina.
chanzo-Dunia Kiganjani blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post