Awali kabla sala maalum ilifanyika. |
Katika mazishi hayo Beat Agenda iliwakilishwa naye DVJ Bavon (mwenye skafu na kofia kushoto). |
Shekhe wa wilaya ya Ilemela Shk. Mohamed Yusufu akitoa neno la barka kwa waliohudhuria mazishi hayo |
Baadhi ya watoto wa marehemu wakijumuika na wajukuu na marafiki wengine wa marehemu katika sala ya kuhitimisha maziko kifamilia. |