Updates!! MSANII RACHEL HAULE SASA KUZIKWA ALHAMIS WIKI HII JIJINI DAR ES SALAAM BADALA YA KUSAFIRISHWA KWENDA SONGEA,RATIBA KAMILI IKO HAPA





Rachel Haule "Recho" enzi za uhai wake

Mpaka sasa taratibu za mazishi ambazo zimetangazwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie Steve Nyerere  amesema kuwa mazishi yatafanyika Alhamisi kwenye makaburi ya Kinondoni.

Shughuli ya kuagwa kwa mwili itafanyika kwenye viwanja vya Leaders vilivyopo Kinondoni,pia siku hiyo yatafanyika mazishi ya wote wawili yaani mama pamoja mtoto,taarifa ya mwanzo ya familia ilikua marehemu akazikwe kwao Songea lakini kutokana na ushawishi wa familia ya filamu wameomba yafanyike jijini Dar es salaam na familia imekubali.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post