BRN Hoi Shinyanga_WANAFUNZI WAJISAIDIA PORINI,WAKALIA MAGOGO,MWALIMU MKUU ATAJWA KWA UZEMBE

Hiki ni choo kinachotumiwa na wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Mawemilu iliyopo  kata ya Mwakitolyo  halmashauri ya wilaya ya  Shinyanga mkoani Shinyanga,kikiwa kimejengwa kwa nyasi

 Ndani ya darasa la tatu katika shule ya msingi Mawemilu iliyopo  kata ya Mwakitolyo  halmashauri ya wilaya ya  Shinyanga mkoani Shinyanga,ambako kuna magogo yanayotumiwa na wanafunzi kukaa wakiwa wanafundishwa na walimu wao





Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post