AJALI MBAYA YATOKEA MAENEO YA MKATA



 Gari ndogo ikiwa imeharibika vibaya baada ya kugongana na Basi la Meridian
 Wasamaria wema wakinasua dereva wa gari ndogo

Dereva wa Gari ndogo akiwa haamini kama amepona
 Ajali hii imehusisha basi la abiria la Meridiani pamoja na gari ndogo binafsi.Dereva wa gari binafsi amenusurika kifo baada ya gari yake kuharibika vibaya.
 
 Ajali hii imetokea maeneo ya Mkata barabara ya kwenda mikoa ya Kaskazini.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post