BASI UNAAMBIWA SASA UNAWEZA KUFUNGA BEGI LAKO KWA SIMU YA MKONONI BADALA KUFULI ILI USIIBIWE UKIWA SAFARINI


Locker IIKuna ile tabia ya wizi wa mabegi ambao hutokea mtu akiwa safarini, zile za mtu kufungua begi lisilo lake, zote hizo dawa yake ni hii teknolojia ya eGeeTouch.


Smart Luggage Lock inafanya kazi kwa kutumia App inayowekwa kwenye smartphone au gadget, ili kufungua utakachokifanya ni kuswipe simu yako juu ya lock hiyo.

Kampuni iliyotengeneza kifaa hicho imesema imeamua kutengeneza kifaa hicho badala ya kufuli kwa kuwa kufuli inaonekana kama matumizi yake ni mtindo wa kizamani kwa wasafiri na pia hii huongeza  usalama zaidi.Microsoft Word - eGeeTouch_CES Unveiled New York_Immediate Release v2
Mtumiaji anayetumia lock hiyo lazima akumbuke alivyoswipe na iwe siri yake pia kama ilivyo kwa matumizi ya password, lock ina battery ambayo inakaa na chaji mpaka miaka mitatu, pia unaweza kuichaji kwa kutumia waya wa USB.

Unadhani hii kwa Bongo inaweza kusaidia?Tazama picha zake hapa
246F0C2F00000578-2898591-image-m-9_1420539337397 (1)
Hii ndio lock yenyewe ya eGeeTouch.
246F0C2700000578-2898591-image-a-7_1420539300164
Locker II
Locker IV
Locker


Bonyeza hapa Tukupe habari zote mara moja zikitoka  
Endapo una Habari,Picha,Video,Tangazo au Tatizo Lolote wasiliana nasi kwa namba  +255 688 405 951

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post