KUHUSU PANYA ROAD 510 KUKAMATWA JIJINI DAR ES SALAAM

VIONGOZI WA KUNDI LA PANYA ROADI BAADA YA KUKAMATWA NA JESHI LA POLISI HUKO TANDALE, WATU HAWA NDIO VINARA WALIOSABABISHA JIJI KUTOKALIKA KWA MASAA KADHAA


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata  jumla ya mbwa mwitu 510 ikiwa ni harakati za kufichua kundi hilo kubwa na Panya road waliotikisa jiji La Dar es salaam hivi karibuni
Kamanda Kova akionesha picha za viongozi wa panya road
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, kamanda wa polisi kanda maalum ya Dareslaam amesema tayari jeshi hilo pia limefanikiwa kuwakamata viongozi muhimu wa kundi hilo ambao mara kibao wameonekana kusaidia kufanyika kwa vurugu hizo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post