Kwa
asiye mkazi wa Shinyanga, hapa ni katikati ya mji wa Shinyanga,
barabara kuu ya Nkurumah kushoto lipo jengo la ghorofa mbili ambapo
ndani yake kuna benki ya Posta.
PAMOJA NA SHINYANGA KUWA NI MIKOA YENYE RASLIMALI NYINGI ZA ASILI IKIWEMO MADINI YA ALMASI NA DHAHABU, LAKINI BADO MAKAO MAKUU YA MJI HUO HAYANA TOFAUTI NA MIKOA AMBAYO HAINA RASLIMALI HIZO.
HALI HIYO INADHIHIRISHWA NA JINSI MIUNDOMBINU YAKE YA BARABARA KWA MBOVU KATIKA MAENEO YOTE YA MJI HUO HATA ZILE ZILIZOJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI KIWANGO CHAKE NI CHA CHINI SANA.
TAZAMA PICHA ZAIDI NA HABARI KAMILI HAPA
PAMOJA NA SHINYANGA KUWA NI MIKOA YENYE RASLIMALI NYINGI ZA ASILI IKIWEMO MADINI YA ALMASI NA DHAHABU, LAKINI BADO MAKAO MAKUU YA MJI HUO HAYANA TOFAUTI NA MIKOA AMBAYO HAINA RASLIMALI HIZO.
HALI HIYO INADHIHIRISHWA NA JINSI MIUNDOMBINU YAKE YA BARABARA KWA MBOVU KATIKA MAENEO YOTE YA MJI HUO HATA ZILE ZILIZOJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI KIWANGO CHAKE NI CHA CHINI SANA.
TAZAMA PICHA ZAIDI NA HABARI KAMILI HAPA