Mbwa aliyetelekezwa nchini Scotland ajulikanaye kwa jina la Kai amepatiwa ofa tele za makazi mapya.
Mambo yanaonekana si mabaya kwa mbwa aliyetelekezwa kwenye stesheni ya Treni akiwa na sanduku lenye mahitaji yake.
Mbwa huyu alikutwa katika Stesheni akiwa amefungiwa kwenye reli siku ya ijumaa juma lililopita.
Lakini
wasamaria waliomnasua katika eneo hilo wanasema wamekuwa wakipigiwa
simu mara nyingi na watu wakitaka kumpa makazi mbwa huyo.
Wasamaria
wema hao wanasema Kai yuko katika hali nzuri na ni rafiki hivyo
wanaamini kuwa wamiliki wa mbwa huyo ambao bado wanatafutwa walishindwa
kumhudumia.
Taasisi hiyo ya msaada wa wanyama inatoa wito
kuwasiliana nao kupitia namba ya msaada 03000 999 999 ikiwa kuna mtu
atakuwa na taarifa kuhusu wamiliki wa Kai.
Via>>bbc
Bonyeza hapa Tukupe habari zote mara moja zikitoka
Endapo una Habari,Picha,Video,Tangazo au Tatizo Lolote wasiliana nasi kwa namba +255 688 405 951