Basi la abiria aina ya Toyota Coaster likiwa limepinduka baada ya kuigonga treni.Basi la abiria aina ya Toyota Coaster lenye
namba za usajili T 932 AFU linalofanya safari zake kati ya Nanenane na
Ng'ong'ona mkoani Dodoma limepata ajali leo baada ya kugonga treni na
kupinduka maeneo ya Benki Kuu mkoani humo.Tunaelezwa kuwa hakuna mtu aliyepoteza maisha
PICHA KWA HISANI YA GPL