Katikati ni
Monsinyo Liberatus Sangu kutoka Jimbo Katoliki la Sumbawanga ambaye ameteuliwa
na papa Francis kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Tanzania baada ya
jimbo hilo kutokuwa na askofu tangu mwaka 2012 alipofariki askofu wa jimbo hilo
Aloysius Balina.Mwenye suti ni
Father Charles ambaye ni mkurugenzi wa
idara ya elimu jimbo na vijana jimboni Sumbawanga,kushoto ni Emmanuel Mathius Mayunga wakiwa katika picha
ya pamoja kabla ya uteuzi huo-Picha kutoka Maktaba yetu
Askofu Monsinyo Liberatus Sangu
BONYEZA MANENO HAYA KUSOMA HISTORIA YA ASKOFU MTEULE WA JIMBO LA SHINYANGA
Askofu Monsinyo Liberatus Sangu
Askofu Aloysius Balina enzi za uhai wake
BONYEZA MANENO HAYA KUSOMA HISTORIA YA ASKOFU MTEULE WA JIMBO LA SHINYANGA