ANGALIA PICHA ZAIDI YA 20- MAZISHI YA WATU 6 WALIOKUFA KWA KUTEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR ES SALAAM

DSC_0417Tukio ambalo lilishtua wengi mwisho wa wiki iliyopita ilikuwa ni ajali ya moto iliyotokea maeneo ya Kipunguni Dar es Salaam ambapo watu sita wa familia moja walifariki baada ya nyumba yao kuwaka moto usiku wakiwa wamelala.


Imehuzunisha wengi, Jana ilikuwa siku ambayo ndugu, jamaa walikutana kufanya mazishi ya marehemu hao katika Makaburi ya Airwing, Dar es Salaam.
DSC_0409
DSC_0412
DSC_0415
DSC_0417
DSC_0419
DSC_0430
DSC_0448
Waziri Dk. Harrison Mwakyembe

DSC_0464
Waombolezaji wakiwa katika msiba huo.

DSC_0480
Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal akipeana mkono na Dr. Makongoro Mahanga na Waziri Mark Mwandosya.

DSC_0498
DSC_0508
DSC_0562
DSC_0580
Askari wa JWTZ wakiwa wamebeba jeneza la mmoja wa marehemu hao kwa ajili ya mazishi.

DSC_0598
DSC_0611
DSC_0627
DSC_0661
DSC_0670
DSC_0671
DSC_0691
DSC_0700
DSC_0712
picha zote kwa hisani ya Millard ayo.com

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post