Fahali aliyepewa jina la Messi alimcharaza mpinzani wake Simba na kudhirihisha ubabe wake.
Fahali huyo alipewa jina
hilo la utani la Messi kuonyesha umarufu wake wa kupigana kama mchezaji
hodari wa kandanda wa klabu ya Barcelona Lionel Messi.
Pigano hilo
la mafahali lilifanyika katika uwanja wa Bukhungu kaunti ya Kakamega
eneo la magharibi nchini Kenya wikendi iliyopita.
Katika pambano hilo fahali mmoja alivutishwa bangi ili ashinde pambano