Makubwa Haya!! NG'OMBE AVUTISHWA BANGI ILI APIGANE NA FAHALI MWENZAKE

Fahali aliyepewa jina la Messi alimcharaza mpinzani wake Simba na kudhirihisha ubabe wake.


Fahali huyo alipewa jina hilo la utani la Messi kuonyesha umarufu wake wa kupigana kama mchezaji hodari wa kandanda wa klabu ya Barcelona Lionel Messi.

Pigano hilo la mafahali lilifanyika katika uwanja wa Bukhungu kaunti ya Kakamega eneo la magharibi nchini Kenya wikendi iliyopita.

Katika pambano hilo fahali mmoja alivutishwa bangi ili ashinde pambano

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post