Timu ya watafiti kutoka chuo cha Columbia Univesity kimebaini
simu za kisasa za smartphone zinaweza kupimakwa haraka na urahisi
virusi vya Ukimwi na magonjwa wa zinaa.
Kwa kutumia App ambayo
una-install kwenye smartphone ama iPad, halafu unaunganisha kwenye simu
kupitia tundu la kuwekea headphone, basi majibu ya vipimo hivyo
yanapatikana ndani ya dakika 15!Kifaa hicho kinapatikana kwa gharama ya
Dola 34 (sawa na sh. 55,000/= Tshs)..
Hii ni iPhone ikiwa imeungwa na kifaa hicho.
Inasemekana hadi sasa wanawake 96 kutoka Uganda wamefanyiwa vipimo kwa
njiahiyo na kupata majibu yanayoridhisha na kuchapishwa kwenye jarida
lamasuala ya sayansi na tiba Uganda.