VURUGU YATOKEA UWANJANI HUKO GEITA,POLISI WAINGILIA KATI

Jeshi la Polisi mkoani Geita limelazimika kuwatawanya washabiki wa Mpira katika uwanja wa Shule ya Sekondari Nyakumbu Mkoani Geita mara baada yakutokea vurugu wakati wa Mchezo kati ya Totokutoka Mwanza na Geita hali iliyolazimu kuvujika kwa mchezo huo.Chanzo cha vurugu hizo inaelezwa kuwa ni mwamuzi wa kutoa penati kwa timu ya Geita,baada ya mchezaji wa timu ya Toto ya Mwanza Venance Joseph wa Geita kushika mpira baada ya hapo refa akatoa penati kwa timu ya Toto,huyo Venance akagoma,kisha kupewa kadi ya njano baada ya hapo vurugu ikatokea,huku Toto wakitaka penati ipigwe lakini Geita wakiwa wanakataa hali iliyosababisha vurugu na kutaka kumpiga refa wakidai amenunuliwa kwa shilingi milioni 10 -Picha na Valence Robert-Malunde1 blog Geita


Mashabiki wa mpira wakiwa katika uwanja wa Nyankumbu wakijadili mara baada ya mchezo kati ya timu ya Toto ya Mwanza na Geita Gold Sport kuvunjika kwa vurugu.Picha na Valence Robert Malunde1 blog -Geita

Polisi walipiga mabomu




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post