ANGALIA PICHA- MBOWE AKUSANYA MAELFU YA WAKAZI WA KAHAMA JIONI HII

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akihutubia maelfu ya wakazi wa Kahama mjini Kahama mkoa wa Shinyanga jioni hii.Kiongozi huyo wa Chadema Taifa ametoa pole kwa wakazi wa Kahama waliopatwa na maafa ya mvua ya ajabu iliyoua watu 46 na kujeruhi zaidi ya 90 hivi karibuni,ambapo chama hicho kimetoa shilingi milioni 10 kuwafariji wahanga wa Mvua wa Mwakata Kahama.Mbowe pia amezungumzia mambo mbali mbali ya kitaifa likiwemo suala la daftari la kudumu la wapiga kura na katiba inayopendekezwa


 BOFYA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI NA PICHA NYINGI ZAIDI

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم