MAJINA YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA IRINGA



Takribani wanafunzi watano kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam wamepoteza maisha katika ajali iliyotekea juzi
Wanafunzi hao walikuwa wakirejea chuo baada ya likizo kuisha.
WALIOFARIKI WATANO NI
1. CHIWANGU DIDIMO (mwaka wa 3)
2. KILLEO ERICK ( mwaka wa 3)
3. SOSTEN DAUD (Mwaka wa 3)
4. WATSON JEREMIA (Mwaka wa 2)
5. MBAULE FRANK (Mwaka haujajulikana)
MAJERUHI WAWILI
1. TUPATE MOSIGWA (Mwaka wa 1)
2. RAPHAEL NELBERT (Mwaka wa 1)
Tunawapa pole wafiwa na Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi ..

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post