MISS CBE 2015 APATIKANA,ANGALIA PICHA HAPA NI MREMBO HASWAA

.
.
Chuo cha CBE usiku wa Feb 28, 2015 walikua wakimtafuta Miss CBE ambaye kwao ni kama kumtafuta mwakilishi atakwenda kuwawakilisha kwenye ngazi zinazofuata za mashindano hayo ya urembo ambapo Neema Sissamo alitajwa kama mshindi wa Miss CBE 2015.


Nafasi ya pili ikachukuliwa na Namie Haule nafasi ya tatu ikachukuliwa na Mariam Omary ambapo ukitazama hapa chini ndio nimekuwekea pichaz mbalimbali kutoka kwenye tukio hili ambalo Young D na Jux walikua mabalozi wa bongofleva.
 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post