MWANAMUZIKI MAARUFU WA AFRIKA AUAWA KWA KUPIGWA NA MPENZI WAKE

Huyu  ndiye mwanamuziki aliyeuawa baada ya kupokea kichapo kutoka kwa mpenzi wake
Huyu ndiye mwanamuziki aliyeuawa baada ya kupokea kichapo kutoka kwa mpenzi wake
Mwanamuziki maarufu wa nyimbo za rapa nchini Afrika Kusini Nkululeko Habedi ameuawa baada ya kugombana na mpenzi wake wa kike.
Mdogo wa mwanamuziki huyo alitoa taarifa kwenye vyombo vya habari kuwa alimuona kaka yake anapoteza maisha kutokana na kutokwa na damu nyingi.
Ndugu wa mwanamuziki huyo ambao walishuhudia tukio hilo wamesema kuwa waliamka mapema kuelekea kwa kaka yao  na baada ya kufika karibu na nyumba yake walisikia kelele zikitoka ndani, muda mfupi walimuona rapa huyo akiwa anatokwa na damu nyingi kutokana na kugombana na mpenzi wake kwa muda wa masaa mawili.
Polisi nchini humo wamesema kuwa mpenzi wake huyo atafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.
Hizi ni baadhi ya kutoka eneo la tukio:Wasanii wenzake wakiwa katika sehemu ya tukio
Watu wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye eneo la tukio
Watu wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye eneo la tukio
Watu wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye eneo la tukio
Mdogo mtu aliyevaa tshirt ya kijani akiwa na majonzi
Mdogo mtu aliyevaa tshirt ya kijani akiwa na majonzi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم