PICHA ZAIDI YA 50 -MAMIA WAMUAGA MAREHEMU KAPTENI KOMBA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM

IMG_7989
February 02 2015 katika viwanja vya Karimjee Dar es salaam ilikuwa ni shughuli za kuuaga mwili wa Marehemu Kapteni John Komba na baadaye ukasafirishwa kwenda Ruvuma ambako yatafanyika mazishi-Picha zote kwa hisani ya Michuzi blog


Watu mbalimbali wameshiriki katika tulio hilo, hapa kuna picha kutoka Karimjee,angalia hapa chini
MMGL0723
unnamed (72)
Rais Jakaya Kikwete na  Mama Salma wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba

IMG_7386
Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akitoa heshima za mwisho

IMG_7401
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na Mkewe Anna Mkapa wakitoa heshima za mwisho

IMG_7454
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa.
MMGL0532
IMG_7457
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Kanali Samuel Ndomba.
IMG_7469
Mbunge Jenista Mhagama.
IMG_7489
Kingunge Ngombale–Mwiru.
IMG_7519
Kamanda Kova.
IMG_7552
Wabunge wakiifariji familia ya Marehemu.
unnamed (74)
Makamu wa Rais, Dkt. Mohamed Gharib Bilal na wake zake, Asha na Zakhia.
IMG_7556
Mhe. Ole Sendeka.
IMG_7844
IMG_7860IMG_7863

IMG_7903
IMG_7920
IMG_7923
IMG_7941
IMG_7955
Khadija Kopa.

800
IMG_7575
IMG_7586
MMGL0534
Mama Regina na Mama Sophia Kawawa.
MMGL0543
Rais mstaafu Benjamin Mkapa na Spika wa Bunge Anne Makinda.
MMGL0546

MMGL1020
Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akiifariji familia ya marehemu.
MMGL0567
MMGL0571
MMGL0576
Mjane wa Marehemu, Salome Komba.
MMGL0582
MMGL0744
MMGL0749
MMGL0751
MMGL0769
MMGL0777
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni.

MMGL0783
MMGL0788
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza na Mh. Joshua Nassari.

MMGL0800
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii,Mh. Saidi Mtanda akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya Kamati yake.

MMGL0813
MMGL0814
MMGL0826
MMGL0827
MMGL0837
Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana akitoa salamu za Chama.

unnamed (75)
MMGL0843
MMGL0845
MMGL0849
MMGL0861
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera na Uratibu wa Bunge,Mh. Jenista Mhagama akitoa salamu za Serikali katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.

MMGL0883
MMGL0892
MMGL0928
MMGL0869
MMGL0938
MMGL0950
MMGL0952
MMGL0954
MMGL1126
MMGL1153
MMGL1138
MMGL0993
MMGL0996
MMGL0997
MMGL1051
MMGL1067
MMGL1106
MMGL1124
IMG_8007
MMGL1169
IMG_7984

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post