Wizi Mbaya!! JAMAA HUYU APOKEA KICHAPO AKIIBA BAISKELI MJINI SHINYANGA,ATUPIWA KWENYE MTARO WA MAJI MACHAFU


Mwanamme mmoja ambaye hajafahamika jina lake mara moja amenusurika kufa baada ya kupigwa na wananchi wakati akifanya jaribio la kuiba baiskeli ya mwendesha baiskeli  maarufu Daladala mjini Shinyanga.


Tukio hilo limetokea asubuhi hii karibu na uwanja wa Shycom mjini Shinyanga.

Mbali na kupokea  kichapo hicho cha maana mwanamme huyo alitumbukizwa kwenye mtaro wa maji machafu-Picha na Kadama Malunde
 
 Jamaa akisikilizia mauamivu baada ya kupokea kichapo

Baiskeli aliyokuwa anataka kuiba ikitolewa mtaroni


 Baada ya kichapo jamaa aliachiwa

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post