![]() |
Afisa Mazingira kutoka Mgodi wa Mwadui Prisca John akionesha yai lililoiva ndani ya dakika 10 baada ya kuwekwa kwenye jiko hilo la kutumia nguvu ya jua |
Afisa Mazingira kutoka Mgodi wa Mwadui Prisca John akimenya yai
![]() |
Afisa Usalama,Afya na Mazingira kutoka mgodi wa Mwadui Donatus Mukungu alisema majiko mengine ya namna hiyo yanaendelea kutengenezwa na wana mpanga wa kuanza kuyasambaza jijini |
![]() |
Mfanyakazi kutoka Mgodi wa Mwadui akiwa amesimama mbele ya jiko hilo la kisasa |
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga akiangalia asali iliyotengezwa katika mgodi wa Mwadui |
![]() |
Afisa Usalama,Afya na Mazingira kutoka mgodi wa Mwadui Donatus Mukungu akieleza shughuli mbalimbali zinazofanywa na mgodi wa Mwadui,ambapo alisema wanafanya kazi za kutunza mazingira pia |
![]() |
Wakazi wa Shinyanga wakiwa katika banda la mgodi wa Mwadui katika viwanja vya Shycom mjini Shinyanga |
![]() |
Afisa Mazingira mgodi wa Mwadui(kushoto) akionesha nta iliyotengenezwa katika mgodi huo |
Social Plugin