Habari Inachekesha!!! NDOA IMEVUNJIKA...MUME AKAONA HERI WAGAWANE NUSU NUSU,IKAWA BALAA TUPU.. ANGALIA PICHA NA VIDEO HAPA
Ni kama utani hivi.. eti kweli ikitokea
ndoa inaisha alafu Mahakama ikaamua kila kitu mgawane nusunusu, hiyo
nusu yenyewe ndio inakuwa kwenye mtindo huu??
Der Julini
jina la Mjerumani mwingine kwenye Headlines baada ya kuingia mtandaoni
na kutangaza kwamba anauza hivi vitu ambayo wamegawana nusunusu na mkewe
baada ya ndoa kufikia mwishoni.
Cheki pichaz za vitu vyewewe sasa !!
Hii ni laptop ya Apple, hapo ndio imeshagawanywa nusu yani!
Hili ni sanduku la barua, na lenyewe limegawanywa tayari.
iPhone nayo haikuachwa.
Gari ndogo ya kutembelea, Opel Corsa nayo iko nusu hapo.
TV ya Samsung nayo iko nusu.
Mdoli nao ulikutwa na huu mkasa wa kugawanywa nusu !!
Viti vya kukalia.
Helmet ambayo inavaliwa kichwani ukiendesha pikipiki
Hii nusunusu unaionaje mtu wangu, iko sawa kweli? Nipe comment yako hapa chini Hapa kuna video wakati jamaa yuko busy kabisa anagawanya vitu
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553