MGOMBEA URAIS WA CUF ZANZIBAR MAALIM SEIF ...ADAI ANA MATUMAINI YA USHINDI 72% BAADA YA KUPIGA KURA


Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, tayari amepiga kura yake kwenye Kituo cha Mtoni, Chumba Na. 13.

Tofauti na ilivyokuwa kwa mgombea Urais wa CCM, Dr Shein, Maalim yeye amedai kwamba kura yake ni siri yake lakini ana matumaini ya ushindi wa asilimia 72.




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post