Picha 38 !! MKUTANO WA FUNGA KAZI CHADEMA LEO SHINYANGA MJINI,KATAMBI,MGEJA WATEMA SUMU,VITUKO BALAA,MAJENEZA,JAMAA KAMA LOWASSA NAYE YUMO



Ni funga Kazi!! Maelfu ya wakazi wa Shinyanga wamejitokeza katika mkutano wa mwisho wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini Kupitia Ukawa/Chadema Pachal Patrobas Katambi maarufu kwa jina la Mzimu wa Shelembi. 

Mkutano huo mkubwa umefanyika leo jioni katika viwanja vya Shycom mjini Shinyanga na kuhudhuriwa na aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja aliyetimukia Chadema baada ya rafiki yake kipenzi Edward Lowassa kuipiga chini CCM na kuhamia Ukawa. 

Pia alikuwepo aliyekuwa kada wa CCM ndugu Emmanuel Nzungu..mbunge wa viti maalum Chadema Rachel Mashishanga na makada mbalimbali wa Chadema pamoja na wazazi wake na Katambi...Mkutano huo pia ulitawaliwa na Vituko vya Hapa na pale kama vile kubebwa Jeneza na njemba kuigiza kuwa ni Lowassa... Mwandishi mkuu wa Malunde1 blog,Kadama Malunde...ametusogezea picha 38...shuhudia hapa chini


Jukwaa kuu


Wafuasi wa Chadema wakiwa na jeneza lilifunikwa bendera ya CCM,ishara ya kwamba kesho Oktoba 25,2015 wanakwenda kuizika......


Mbunge wa viti maalum Chadema Rachel Mashishanga akiwaombea kura wabunge wa UKAWA,Madiwani na mgombea urais wa Chadema Edward Lowassa


mbunge wa viti maalum Chadema Rachel Mashishanga akiwahutubia wakazi wa Shinyanga


Maelfu ya wakazi wa Shinyanga wakiwa kwenye mkutano


Kada wa Chadema Joseph Kasambala akiwahutubia wakazi wa Shinyanga


Tunafuatilia kinachojiri hapa.......


Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja akiwa na mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini Patrobas Katambi wakionesha alama ya vidole viwili


Ishara ya Kobra jinsi watakavyoiadhibu CCM Oktoba 25,2015


Nzungu akishambulia jukwaa


Jamaa aliyekuwa anaigiza kama Lowassa akiwa kwenye mkutano...


Mheshimiwa Mgeja akiwahutubia wakazi wa Shinyanga


Mgeja akiwaombea kura wagombea wa UKAWA


Mkutano unaendelea


Mgeja akinadi sera za Ukawa 


Mgeja akizungumza ....


mkutano unaendelea


Tuko tayari kwa mabadilikooooo.......


Mkutano unaendelea


Mkutano unaendelea


Mgeja akiwahutubia wakazi wa Shinyanga


Mkutano unaendelea


Mgeja akiwa na mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Shinyanga mjini Patrobas Katambi

Wananchi wakifuatilia kwa umakini hotuba ya Mgeja


Hapa no Pipoz tu.....


Mgeja akimtambulisha Katambi


Mkutano unaendelea


Mbunge wa Viti maalum Rachel Mashishanga akiteta jambo la Mgeja


Wagombea udiwani wa Chadema wakiwa kwenye mkutano 


Katambi akiomba kura kwa wananchi


Ni lala salama...kura zenu ndiyo zitawakomboa......


Wananchi wakiwa kwenye mkutano


Mkutano unaendelea


Pipoz....


Mabango nayo yalikuwepo...


Mama mzazi wa mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini kupitia Chadema bi Spesioza Matongo akimwombea kura mwanaye Patrobas Katambi


Baba mzazi wa Patrobas Katambi akimwombea kura mwanaye

Kama Lowassa...Jamaaa akifanya yake...

Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post