UCHAGUZI MKUU WAINGIA DOSARI SHINYANGA MJINI...WAGOMBEA WA CHADEMA NA APPT MAENDELEO WAGOMA...POLISI KILA KONA,WANANCHI WAPIGWA MABOMU




Uchaguzi mkuu katika jimbo la Shinyanga mjini umeingia dosari baada ya wagombea wa ubunge wa upinzani Chadema na APPT Maendeleo kutoka katika ukumbi wa kuhesabu kura na kutangazia matokeo kwa madai kuwa uchaguzi huo ulikuwa umegubikwa na rushwa,vitisho na udanganyifu wa hapa na pale hali ambayo wamesema kwa vyovyote vile matokeo haya wezi kuwa halali..na sasa kinachoendelea ni kwamba kura zinahesabiwa kwa vituo vyote 275…

Soma Habari kamili>>>HAPA

Mgombea ubunge wa Ukawa/Chadema Patrobas Katambi na wa APPT Maendeleo wameondoka eneo la kutangazia matokeo
Askari polisi wapo wa kutosha mtaani na eneo la tukio-Mwandishi mkuu wa Malunde1 blog,Kadama Malunde yupo eneo la tukio ametuletea picha zifuatazo….


Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Shinyanga mjini Lewis Kalinjuna akizungumza kabla ya kuwakaribisha wagombea kuzungumza kabla ya zoezi la kuhesabu kura halijaanza




Wagombea na wafuasi wa vyama wakiwa katika ukumbi wa kuhesabia kura muda huu



Katambi akizungumzia namna uchaguzi ulivyogubikwa na rushwa na udanganyifu ambapo mgombea CCM Stephen Masele amekuwa akicheza rafu mwanzo hadi mwisho wa uchaguzi


Wananchi wakifuatilia kinachoendelea



Mgombea ubunge wa APPT Maendeleo Emiliana Tambwe akisema uchaguzi ulikuwa siyo halali



Katambi akizungumza na waandishi wa habari



Katambi akiondoka ukumbini



Wafuasi wa chadema wakiwa na mgombea wao




Wanaondoka



Katambi na wafuasi wa Chadema wakiwa katika ofisi za chadema




Ulinzi mtaani



Ulinzi eneo la tukio



Gari la maji ya kuwasha



Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Soma Habari kamili>>>HAPA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post