Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa TAKUKURU Dk. Edward HOSEA, kwa kushindwa kupambana na rushwa hasa upotevu wa mapato ya serikali bandarini.
Aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bwana Valentino Mlowola ameteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU