Basi la Mwendo Kasi Laua Mtoto Jijini Dar es Salaam



Basi la mwendo kasi ( DART) limemgonga na kumuua mtoto huku mama yake akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita basi hilo.Inaelezwa kuwa ajali hiyo imesababishwa na mwendesha bodaboda kuwa mzembe.



Ajali hiyo imetokea leo katika eneo la Shekilango jijini Dar es Salaam.
Dereva wa gari la mwendo kasi amesema mwendesha bodaboda alikatiza wakati taa zikiwa zimeruhusu basi kupita




Pikipiki iliyohusika kwenye ajali hiyo

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم