
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa na kuna taarifa kuwa mali zote zilikowemo katika
basi vimeteketea kabisa kwa moto.


Baadhi ya Wakazi wa eneo la Kimara Stop Over na Kimara Suka wakielekea kushuhudia eneo la ajali kati ya basi la Safari Njema na Lori lililokuwa limebeba shehena kubwa ya mifuko ya Cement.

Baadhi ya Vijana wasio waaminifu walivamia eneo hilo la ajali na kuanza kuondoka na mifuko ya Cement iliyokuwa imebebwa na lori hilo.
Angalia video hapa chini Basi la Safari Njema likiteketea kwa moto
Social Plugin