RAIS MAGUFULI AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA JOSEPH MUNGAI KARIMJEE DAR
Thursday, November 10, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwaongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Joseph Mungai katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 10,2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na waombolezaji waliofika kuaga mwili wa Marehemu Joseph Mungai katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 10,2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Rais Mstaafu awamu ya tatu Benjamin Mkapa pamoja na waombolezaji wengine walipofika kuaga mwili wa Marehemu Joseph Mungai katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 10,2016
Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akitoa salamu za serikali wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Joseph Mungai katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Novemba 10,2016- Picha na IKULU
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin