HAYA HAPA MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA LEO LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA MZUNGUKO WA SABA
Saturday, October 21, 2017
Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara imeendelea tena leo Jumamosi Oktoba 21, 2017 kwa michezo sita ya mzungukowa saba katika viwanja mbalimbali. matokeo ya mechi zote za leo ni haya hapa chini
Simba 4-0 Njombe Mji
Mbao Fc 0-0 Azam Fc
Mbeya City 2-0 Ruvu Shooting
Lipuli Fc 1-0 Majimaji
Mtibwa Sugar 1-0 Tanzania Prisons
Ndanda Fc 0-0 Singida United
Kesho Jumapili kutakuwa na mechi moja ya kukamilisha mzunguko wa saba ambapo Stand United itacheza na Yanga katika uwanja wa Kambarage Shinyanga
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin