MWANAFUNZI WA SEKONDARI AUAWA KWA KUCHOMWA KISU AKIGOMBEA MWANAMKE
Wednesday, September 19, 2018
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikiliwa mwanafunzi anayetuhumiwa kumuua mwenzake mwenye umri wa miaka kumi na tisa wote wakiwa wanasoma Shule ya Sekondari Mteule akituhumiwa kumchoma kisu sehemu kifuani wakiwa kwenye kigodoro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Wilbroad Mutafungwa amemtaja aliyeuawa ni Abdulrahiman Daud aliyeshambuliwa kwa kile kinachodaiwa ugomvi wa kugombea mwanamke.
==>>Msikilize Kamanda Mutafungwa akongea hapo chini
Credit: Azam Tv
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin