RAIS MAGUFULI AMETUMBUA NA KUFANYA UTEUZI ASUBUHI HII
Wednesday, September 26, 2018
Rais John Magufuli, amemteua Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Damas Ndumbaro, kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akichukua nafasi ya Suzan Kolimba, ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin