KAILIMA AWASILI TAKUKURU KUHOJIWA


Naibu Katibu mkuu Wizara ya mambo ya ndani Ramadhan Kailima amewasili  TAKUKURU Makao Dodoma  majira ya saa 8:50 asubuhi  kwa ajili ya kuhojiwa akiwa na gari ya  Land cruiser T.830 DNL


Kailima alikwepa kuingilia lango kubwa la mapokezi akaingilia lango dogo la moja kwa moja hadi chumba cha mahojiano ili kukwepa kamera za wanahabari.

Naibu  waziri wa Mambo ya ndani Hamad Masauni atawasili saa sita mchana


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post