







********************
Na Emmanuel Mbatilo - Zanzibar
Klabu ya Yanga imefanikiwa kunyakua ubingwa wa Mapinduzi Cup baada ya kuinyuka katika mikwaju ya penalti baada ya kutoka sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90 za mchezo.
Nyota wa mchezo huo ni Farouk Shikalo ambaye aliokoa penalti moja ya Joash Onyango na Meddie Kagere kugongengesha mwamba penalti yake moja.
Saido Ntibanzokiza ambaye alikuwa msumbufu ndani ya dakika zote 90 amesema kuwa wachezaji wenzake walimuomba awape sapoti naye akasema kwamba hana tatizo atafanya kazi.
Social Plugin