Baadhi ya wadau wa Elimu pamoja na wanafunzi waliosoma chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi wakati wa uzinduzi waKampeni ya harambee ya kuchangia ujenzi wa hosteli za Wanafunzi wa Kike Chuo cha Elimu ya Bishara (CBE) kampasi ya Mbeya uliofanyika Serena hotel mkoani Dar es Salaam.
Social Plugin