Mratibu wa Malaria Mkoa wa Shinyanga Dr. Daniel Mzee
Na Josephine Charles - Malunde1 blog
Jamii
imeaswa kuacha kutumia dawa za Kutibu Ugonjwa wa Malaria pasipo kufanya Vipimo
katika Vituo vya kutolea huduma za afya kwani kufanya hivyo kuna sababisha
usugu wa magonjwa mbalimbali katika mwili wa Binadamu.
Dk. Mzee amesema nyumba bora nayo inachangia kupunguza tatizo la Malaria akieleza kuwa pamoja na kwamba maisha ni magumu basi Jamii ijitahidi kutumia Chandarua chenye Dawa,kuweka wavu dirishani ili Mbu wasipite pamoja na kuzingatia usafi wa mazingira.
Tazama picha hapa chini
Mratibu wa Malaria Mkoa wa Shinyanga Dr. Daniel Mzee
Social Plugin