
Sehemu ya uharibifu uliofanywa

Kufuatia taarifa za mtu asiyefahamika kuvamia na kuingia ndani ya kanisa Katoliki jimbo la Geita na kufanya uharibifu katika altare na sakrestia na kuvunja tabernakulo, kumwaga ekaristi takatifu na kuchana kitabu kitakatifu Biblia sambamba na kuharibu mfumo wa camera za ulinzi, kanisa hilo limefungwa kwa muda
.
Social Plugin