Mwanzilishi na Mwenyekiti wa asasi isiyo ya kiserikali, Agri Thamani Foundation Mbunge Mhe.Neema Lugangila akizungumza na wahariri wa Vyombo vya Habari nchini wakati wa Semina ya Wahariri kuhusu kuzungumzia masuala ya ulinzi wa taarifa zetu za Afya. Je, namna gani taarifa za afya zinakusanywa, kuhifadhiwa, kutumiwa na kutupwa?. Semina iyo imefanyika leo Juni 14,2023 Jijini Dar es Salaam
Meneja wa Taasisi ya Agri Thamani Bi.Mwasiti Kazinja akizungumza katika Semina ya Wahariri kuhusu kuzungumzia masuala ya ulinzi wa taarifa zetu za Afya. Je, namna gani taarifa za afya zinakusanywa, kuhifadhiwa, kutumiwa na kutupwa?. Semina iyo imefanyika leo Juni 14,2023 Jijini Dar es Salaam
(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)
Social Plugin