NILIPOJUA BABA ANAKARIBIA KUFA NIKAMUOMBA MSAMAHA!

 
Jina langu ni Omolla kutoka katika kaunti ya Homa Bay, nilikuwa mtoto pekee katika familia yetu, wazazi wangu walinithamini sana na kwa mara nyingi hawakutaka jambo baya litokee katika maisha yangu kwa wakati wowote ule.

Baada ya kufika katika Chuo Kikuu, hapo ndipo nilianza kutoelewana na Baba yangu, kwa mara nyingi hatukusikilizana na hata nilimdhalilisha kwa kuwa hakuwa amesoma hadi kufikia Chuo Kikuu kama vile mimi.

Nilisahau kwamba yeye ndiye aliyeniwezesha kupata elimu hiyo, chochote alichonieleza sikutilia maanani licha ya yeye kuwa Baba yangu mzazi, nilikuwa nikibishana naye mithili ya kijana mwingine tu wa rika yangu.

Tabia hiyo ilipelekea yeye kunitelekeza kabisa, ilifikia hatua ya kunitamkia waziwazi kwamba sikuwa mtoto wake kabisa na kwamba sikuwa kwenye hesabu zake kama mwanawe.

Mara kadhaa mama Mzazi alikuwa akijaribu kumaliza ugomvi  kati yetu lakini hakuweza kufanikiwa, wakati fulani Baba yangu aliugua sana na hata alionyesha ishara kwamba alikuwa kwenye safari yake ya mwisho duniani.

Hapo nilikuwa mwenye hofu kwani nilitaka tusameheane, nilienda hospitalini alipokuwa amelazwa kwa ajili ya kumuomba msamaha,  ila hapo alikataa kunisamehe licha ya ushawishi wa mama yangu.

Niliketi chini na kijifikiria vizuri nikapata kujua kwamba mimi ndimi nilikuwa na makosa, na hapo nilianza mikakati ya kurejesha uhusiano mwema na Baba yangu mzazi.

Niliweza kumshirikisha rafiki yangu Marley jambo hilo na hapo akanipa ushauri kwamba African Doctors aliwahi msaidia kumaliza shida kama hiyo kipindi fulani huku nyuma. Alinipa namba yake nami nikampigia African Doctors, alinialika ofisini kwake kwa ajili ya kupata msaada.

African Doctors alifanya tambiko lake la kiasilia na kunipa hakikisho uhusiano wangu na Baba yangu utarejea, nilirejea nyumbani na kufunga safari kwenda kijijini kumuona Baba.

Mara hii yeye ndiye aliyenikaribisha na hapo nikajua kwamba African Doctors alikuwa ni mtu wa kuaminika katika tiba zake, tangu siku ile uhusiano wangu na Baba umekuwa mzuri sana!.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com




au watumie email; africandoctorheals@gmail.com

Mwisho.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post