e-GA YASHAURI TAASISI KUTUMIA MFUMO WA TEHAMA

 



Picha za Matukio mbalimbali ya wananchi wakipatiwa Elimu na  huduma mbalimbali katika Banda la Mamlaka ya Serikali Mtandao lililopo katika viwanja vya John Mwakangale-Nanenane jijini  Mbeya.

Na Mwandishi maalum, Mbeya 

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) inashiriki Maonesho ya kimataifa ya Nanenane mwaka 2023 kwa lengo la kutoa Elimu kwa wananchi kuhusu kazi na Majukumu ya mamlaka.

Kupitia maonyesho hayo imezitaka  Taasisi za umma kutumia TEHAMA katika utoaji wa huduma zao ili kumrahisishia mwananchi kupata huduma hizo kwa urahisi na gharama nafuu

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post