RAIS SAMIA AZINDUA MAABARA YA TEHAMA SKULI YA SEKONDARI YA KIZIMKAZI MKUNGUNI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati akivuta kitambaa kuzindua Maabara ya TEHAMA katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi Mkunguni chini ya Ufadhili wa Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) tarehe 29 Agosti, 2023 katika Shamrashamra za kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua chumba cha TEHAMA katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi Mkunguni chini ya Ufadhili wa Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) tarehe 29 Agosti, 2023 katika Shamra shamra za kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post