WAZIRI MKUU MSTAAFU MIZENGO PINDA ATEMBELEA BANDA LA TVLA KWENYE MAONESHO NANENANE MBEYA

Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Peter Pinda akipata maelezo kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania Dkt. Stella Bitanyi kuhusiana na kazi mbalimbali za kimaabara zinazofanywa na Wakala hasa katika utoaji wa huduma za uchunguzi wa Magonjwa ya Wanyama, Uzalishaji wa Chanjo za Mifugo, utafiti wa magonjwa ya Wanyama, uhakiki wa ubora wa vyakula vya mifugo, Usajili na uhakiki wa ubora wa viuatililu wa dawa za mifugo pamoja na mafunzo kwa wahitimu wa ngazi mbalimbali za elimu alipotembelea banda la TVLA kwenye maonesho ya Kimataifa ya Nanenane yanayoendelea katika uwanja wa John Mwakangale Mkoa wa Mbeya Agosti 7, 2023.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post