EWURA YAKIFUNGIA KITUO CHA GBP TABORA KWA KUTOUZA MAFUTA

 

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji EWURA , leo 3 Septemba, 2023 imekifungia Kituo cha GBP Tabora, kutokana na kutouza mafuta kwa wateja huku kwenye maghala yake mafuta yakiwemo.

Kituo hicho kimefungiwa baada ya kukiuka Kanuni za uendeshaji biashara ya mafuta nchini.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post