TANZANIA YAHUDHURIA MKUTANO KIMATAIFA KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA YA ANGA

 

Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (MB), akifuatilia mkutano wa kimataifa wa mawaziri wa Usafiri wa Anga huko Hyderabad, India.

 Mkutano huo unajadili fursa na changamoto za sekta hiyo. Waziri Mbarawa ameandamana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga la Tanzania, Bw. Hamza Johari

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post