Aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Ndala katika Jimbo Katoliki Shinyanga Padre Emmanuel Makolo, amefariki dunia.
Padre Makolo amefariki dunia Jana Alhamisi tarehe 25.04.2024 , majira ya saa tatu usiku, katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando Jijini Mwanza alikopelekwa kwa matibabu.
Taratibu za mazishi zinaendelea kufanyika.
Mungu ailaze Mahali pema Mbinguni Roho